Thu, Oct 23, 2025
  Email: info@kist.ac.tz    
Uongozi wa Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Karume (KIST), umepokea ugeni kutoka Tume ya Taifa ya UNESCO.
Lengo la ugeni huo ni kuja kujitambulisha katika Taasisi ya Karume na kuelezea kazi wanazofanya katika Tume hiyo.
Tume ya Taifa ya UNESCO ni Taasisi ya Serikali iliyoanzishwa kwa lengo la Kupanga, Kuratibu na kusimamia kazi zote za UNESCO nchini Tanzania.