
KIST YAPATA UGENI KUTOKA HOGESCHOOL ANTWERPEN.

WANAFUNZI WA KIST WAENDELEA NA ZIARA YA KIMASOMO UNGUJA.

UZINDUZI WA BARAZA LA KIST.

UZINDUZI WA BARAZA LA KIST.

WANAFUNZI WA TAASISI YA KARUME WAANDAA KONGAMANO LA MAPINDUZI.

WANAFUNZI WA TAASISI YA KARUME WAANDAA KONGAMANO LA MAPINDUZI.

MAHAFALI YA 8 YA TAASISI YA SAYANSI NA TEKNOLOJIA YA KARUME (KIST)

WANAFUNZI WA TAASISI YA KARUME WAANDAA KONGAMANO LA MAPINDUZI.

MAHAFALI YA 8 YA TAASISI YA SAYANSI NA TEKNOLOJIA YA KARUME (KIST)

WANAFUNZI WA TAASISI YA KARUME WAANDAA KONGAMANO LA MAPINDUZI.

MAKAMU WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR AKIWA KATIKA PICHA YA PAMOJA NA VIONGOZI MBALI MBALI WA SERIKALI KATIKA MAHAFALI YA 8 YA KIST.

MAKAMU WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR AKIWA KATIKA PICHA YA PAMOJA NA VIONGOZI MBALI MBALI WA SERIKALI KATIKA MAHAFALI YA 8 YA KIST.

WAZIRI LELA AKIWA KATIKA PICHA YA PAMOJA NA VIONGOZI MBALI MBALI WA SERIKALI PAMOJA NA WANAFUNZI WA KIST.

MAKAMU WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR AKIKABIDHIWA ZAWADI KATIKA MAHAFALI YA 8 YA KIST.

WANAFUNZI WA KIST WAFANYA ZIARA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA ABEID AMANI KARUME.

UFUNGAJI WA MAFUNZO MAFUPI YA UTENGENEZAJI WA VIDEO NA UPIGAJI PICHA KIST.

WANAFUNZI WA KIST WAFANYA ZIARA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA ABEID AMANI KARUME.

UZINDUZI WA DURU YA PILI YA MPANGO WA UFADHILI WA MAFUNZO YA UJUZI KWA VIJANA WANAOTOKA KAYA MASKINI NA WANAOISHI MAZINGIRA MAGUMU.

MKUU WA MKOA WA MJINI MAGHARIBI AKIWA KATIKA PICHA YA PAMOJA BAADA YA KUFUNGUWA MAFUNZO KIST.

MKUU WA MKOA WA MJINI MAGHARIBI AKIFUNGUWA MAFUNZO KIST.

WADAU KUTOKA IDARA YA CIVIL ENGINEERING WAKUTANA KIST.

PICHA YA PAMOJA BAADA YA KUMALIZA HAFLA FUPI YA KUWAGWA WAKUFUNZI KUTOKA NIGERIA .

BALOZI WA TANZANIA NCHINI AUSTRIA AKIWA KATIKA PICHA YA PAMONA NA NA UONGOZI WA KIST.

KIST YATEMBELEWA NA COSTEC

KIST YAPOKEA TUNZO.

KIST YAKARIBISHA WANAFUNZI WAPYA.

WANAFUNZI WA LAUREATE WAJIFUNZA KIST.

WANAFUNZI WA SKULI YA HIGH VIEW WATEMBELEA KARUME.

WAZIRI LELA AIPONGEZA KIST.

WAZIRI LELA AIPONGEZA KIST.

WAZIRI LELA APIGA PICHA YA PAMOJA NA WASHIRIKI WA MASHINDANO KIST.

KIST YATIA SAINI MoU NA ICDL

WANAFUNZI WA UHANDISI MITAMBO WAKISOMA KWA VITENDO

Timu ya Mpira ya Taasisi ya Karume ya Sayansi na Teknolojia Zanzibar (KIST), walovaa Jezi nyekundu wakiwa katika Uwanja wa Amani wakichuana na Timu ya Mpira ZU katika Fainal ya Mashindano ya Zahilfe Cup 2022, Mwishoni wa Mwezi wa Sita.

Wanafunzi wa Taasisi ya Karume ya Sayansi na Teknolojia Zanzibar (KIST), wakiendelea kupata Mafunzo kwa ajili ya mashindano ya kuandaa Video za kutangaza Utalii na Utamaduni wa Mzanzibari, mafunzo hayo yanafanyika katika Taasisi hiyo Mbweni Zanzibar.

Mratibu wa Program ya Wafanyakazi wa kujitolea KOICA Pauline Mushi akizungumza katika Ufunguzi wa Program ya Mafunzo ya utengenezaji wa Video za Utalii na Utamaduni wa Zanzibar, katika Ukumbi wa Mkutano wa Dkt. Idrissa Muslim Hijja Mbweni Zanzibar.

Mkurugenzi wa Taasisi ya Karume ya Sayansi na Teknolojia (KIST), Dkt. Mahmoud Abdulwahab, akiwa katika Picha ya pamoja na Washiriki mbalimbali waliyohudhuria katika Ufunguzi wa Program ya Mafunzo ya utengenezaji wa Video za Utalii na Utamaduni wa Zanzibar.

PICHA YA PAMOJA WANAFUNZI WA NDEGE KIST

MAAFISA WA TUME YA MIPANGO ZANZIBAR WATOA MAFUNZO KIST

Mkurugenzi Wa Taasisi Ya Karume ya Sayansi na Teknolojia Dr. Mahmoud Abdulwahab Alawi akiwa kikao na Wafanya kazi wa Taasisi hiyo Kwa lengo la kuboresha Maendeleo ya Taasisi Pamoja na Maslahi ya Wafanya Kazi
KIST Library More Books inside
Wanafunzi wakisomea Kwa Utulivu Library ya KIST jengo Jipya


Background of the Institute
Karume Institute of Science and Technology (KIST) is a parastatal organization under the Ministry of Education and Vocational Training. It is entrusted with the responsibility of preserving, enhancing, transmitting, and disseminating knowledge in science and technology by teaching, conducting research, and consultancy in various fields in the country.
KIST was established by Act No.2 of House of Representative of Zanzibar of 2009 as a successor to Karume Technical College (KTC) and became operational on 3rd October 2009. In 2002 KIST the then KTC was full registered by NACTE (National Council for Technical Education) and has the mandate to grant awards on Basic Technician Certificate (NTA Level 4), Technician Certificate (NTA Level 5), Ordinary Diploma (NTA Level 6), and Bachelor degree (NTA Level 8) in eleven (11) fields: Bachelor of Civil Engineering, Bachelor of Electrical and Electronics Engineering, Aircraft Maintenance Engineering and Pilot Studies, Automotive engineering, Civil & Transportation engineering, Computer engineering, Electrical engineering, Electrical with Renewable energy engineering, Electronics & Telecommunications Engineering, Information Communication Technology with Business, Mechanical engineering, Mechanical engineering with Oil and Gas, Laboratory Technicians, and Teachers’ Vocational Education and Training.
KIST maintains a system of collaboration, consultation, and cooperation with other parties within and outside the country whose functions relate to the application of science and technology for the development of the country.

News
-
JAN26
-
JAN26
-
JAN26
-
JAN26
-
JAN26
-
JAN26
-
JAN26
-
JAN25
-
JAN25
-
JAN25
-
JAN25
-
JAN25
-
JAN25
-
JAN25
-
JAN13
-
JAN13
-
JAN13
-
JAN13
-
JAN13
-
JAN13
-
JAN13
-
JAN13
-
JAN13
-
JAN11
-
JAN10
-
JAN10
-
DEC23
-
DEC23
-
DEC23
-
DEC22
-
DEC22
-
DEC07
-
DEC07
-
DEC01
-
DEC01
-
DEC01
-
DEC01
-
DEC01
-
NOV30
-
NOV29
-
NOV29
-
NOV29
-
NOV26
-
NOV22
-
NOV22
-
NOV22
-
NOV04
-
NOV04
-
NOV04
-
NOV04
-
NOV04
-
OCT05
-
SEP21
-
SEP21
-
SEP05
-
SEP01
-
AUG31
-
AUG31
-
AUG22
-
AUG12
-
AUG12
-
AUG12
-
AUG05
-
AUG05
-
AUG05
-
AUG05
-
AUG01
-
JUL27
-
SEP20
-
JUL19
Students
Courses
Stuffs
Locations
The Karume Institute of Science and Technology (KIST) a successor of Karume Technical College is well known as center of technology in Zanzibar. The extension of scientific and technological endeavours including...
Read more

Why Choose Us?
- Perfectional and recognized Instructor
- Globally recognised teaching and research