Uongozi wa Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Karume (KIST), ukiwa katika Picha ya pamoja na wawakilishi kutoka Kitengo cha Ushauri na Utafiti katika Chuo kikuu Cha Hame University of Applied Science (HAMK) cha Nchini Finland, baada ya mazungumzo yenye lengo la kukuza Ushirikiano wa kitaaluma.

UONGOZI wa Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Karume (KIST), ukiwa katika Picha ya pamoja na Kampuni ya GUNT Iliopo Nchini Ujerumani baada ya kufanya mazungumzo kuhusu suala zima la kitaaluma pamoja na kuelezea kuhusu Vifaa mbali mbali vya kufundishia maabara ambavyo ni vya kisasa na vyenye uwezo

Picha ya pamoja ya wahitimu wa mafunzo ya utumiaji wa Vifaa mbali mbali vya kufundishia Wanafunzi wanaosoma fani ya Electrical and Biomedical Engineering, wakiwa na Mkuu wa Idara ya Umeme pamoja na Mkufunzi wa mafunzo hayo  Profesa Daniel Lawrence Schuster kutoka Taasisi ya BETA Aid (Biomedical Engi

Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Mhe. Anna Athanas Paul, akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi mbali mbali wa Serikali katika Uzindizi wa Jezi na Vifaa vya mbio za hisani (HESLB MARATHON ), ikiwa ni Maadhimisho ya miaka 20 ya Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya juu, n

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria imesema imerizishwa na utekelezaji wa Miradi ya Majengo yaliyojegwa katika Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Karume (KIST), kwa ufadhili wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA). Kamati hiyo imeyasema hayo ilipofika katika Taasisi ya Karume kwa l

OUR TOP TEAM

deputy-principal-administration
Dr.Mzee Mustafa Mzee
DEPUTY PRINCIPAL ADMINISTRATION
deputy-principal-academic
Dr.Khamis Khalid Said
DEPUTY PRINCIPAL ACADEMIC
BACK GROUND OF KARUME INSTITUTE OF SCIENCE AND TECHNOLOGY

Karume Institute of Science and Technology (KIST) is a parastatal organization under the Ministry of Education and Vocational Training. It is entrusted with the responsibility of preserving, enhancing, transmitting, and disseminating knowledge in science and technology by teaching, conducting research, and consultancy in various fields in the country.

KIST was established by Act No.2 of House of Representative of Zanzibar of 2009 as a successor to Karume Technical College (KTC) and became operational on 3rd October 2009. In 2002 KIST the then KTC was full registered by NACTE (National Council for Technical Education) and has the mandate to grant awards on Basic Technician Certificate (NTA Level 4), Technician Certificate (NTA Level 5), Ordinary Diploma (NTA Level 6), and Bachelor degree (NTA Level 8) in eleven (11) fields: Bachelor of Civil Engineering, Bachelor of Electrical and Electronics Engineering, Aircraft Maintenance Engineering and Pilot Studies, Automotive engineering, Civil & Transportation engineering, Computer engineering, Electrical engineering, Electrical with Renewable energy engineering, Electronics & Telecommunications Engineering, Information Communication Technology with Business, Mechanical engineering, Mechanical engineering with Oil and Gas, Laboratory Technicians, and Teachers’ Vocational Education and Training.

KIST maintains a system of collaboration, consultation, and cooperation with other parties within and outside the country whose functions relate to the application of science and technology for the development of the country.

Our Mission

To promote the development and usage of appropriate technology that meets national and regional needs and standard through skills and practical oriented training research and consultancy.


Our Vision

KIST is an innovative leader that creates effective learning enveronment, enhances individual success, promote economic vitality and provide opportunities for lifelong technical education.



Why Choose Us?

Perfection and recognized Instructor

Globally recognised teaching and research