Fri, Sep 22, 2023
  Email: info@kist.ac.tz    
Phone:   +255 712-779-267    
Baadhi ya Viongozi na washiriki walioshuhudia hafla ya utiaji saini MoU ya kuendesha mafunzo ya huduma za Viwanja vya Ndege (Ground Handling), baina ya Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Karumé (KIST) na Mtaalamu wa mafunzo hayo, Bw.Hassan S Ngozi hafla iliyofanyika Ukumbi wa Mkutano wa Dkt. Idrissa Muslim Hijja Bweni Zanzibar.