Recent News

WANAFUNZI WA KARUME WAKIWA KATIKA ZIARA YA KIMASOMO .

2023-06-17 09:22:31 category

Wanafunzi wa Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Karume (KIST) wanaosomea fani ya Civil and Transportation Engineering Degree mwaka wa pili , wakiwa katika ziara ya kimasomo katika Soko la Mwanakwerekwe Mkoa wa Mjini Magharibi, kwa lengo la kujifunza kwa Vitendo mambo mbali mbali ya Ujenzi.