Sun, Feb 09, 2025
  Email: info@kist.ac.tz    
Phone:   +255 712-779-267    
Wanafunzi wa Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Karume (KIST), wanaosoma Fani ya Umeme, wakifanya Mtihani wa Vitendo, hii ni wiki ya Kwanza ya mitihani katika Taasisi ya Karume, kwa mwaka wa masomo 2024/2025.