Wed, Jul 02, 2025
  Email: info@kist.ac.tz    
Wakufunzi wa Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Karume (KIST), kutoka Iadara ya Civil engineering wakipatiwa Mafunzo ya kutumia Mashine za Mbao zinazotumika Kutoboa, kusafishia, na kukata mbao.
Mafunzo hayo ya vitendo yamefanyika katika Wakshop ya mbao katika Taasisi ya Karume Mbweni Zanzibar.