Fri, Sep 22, 2023
  Email: info@kist.ac.tz    
Phone:   +255 712-779-267    
Wanafunzi wa Mafunzo ya Amali (KVT) kutoka Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Karume (KIST), wanaosomea fani ya Ufundi Ujemzi. wakiwa katika Mafunzo ya Vitendo, wakijifunza jinsi ya kuseti mbao kwa ajili ya kutengeneza nguzo za zege katika ujenzi wa Msikiti..
Mafunzo hayo ya Vitendo walifanya katika Msikiti wa Skuli ya Kinuni Mkoa wa Mjini Magharibi.