Recent News

TAASISI YA GIZ YAFANYA MAZUNGUMZO KIST.

2023-08-25 04:58:43 category

 

Uongozi wa Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Karume (KIST), umefanya mazungumzo na Taasisi ya (Giz) kutoka Nchini Ujerumani inayojishuhulisha na masuala ya Maji ili kuona jinsi gani Taasisi ya Karume itashirikiana na Mamlaka ya maji Zanzibar (ZAWA) kwa lengo la kupata wataalamu wa  kufanikisha miradi ya maji.