WAZIRI LELA ATEMBELEA BANDA LA KIST ARUSHA.

2023-05-20 12:03:53 category

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar, Mh Lela Mohamed Mussa, Leo ametembelea Banda la  Taasisi ya  Sayansi na Teknolojia ya Karume (KIST), na kuzungumza na watendaji wa Taasisi hiyo, katika maonesho ya NACTVET yanayoendelea  katika Viwanja vya Sheikh Amri Abeid jijini Arusha.

Karibu  katika banda letu Tukuhudumie, Dirisha la Udahili lipo wazi.