Recent News

WANAFUNZI WA KIST WANAOSOMEA UFUNDI BOMBA WAJIFUNZA KWA VITENDO.

2023-08-23 06:58:57 category

Wanafunzi wa Mafunzo ya Amali (KVT) kutoka Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Karume (KIST), wanaosomea fani ya Ufundi bomba (plumbing) mwaka wa pili, wakifanya matengenezo ya Sinki la  kunawia  mikono  katika maeneo ya Taasisi ya Karume.